Mambo ya Walawi 20 : 3 Leviticus chapter 20 verse 3

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 20:3

Mimi nami nitamkazia uso wangu mtu huyo, nami nitamkatilia mbali na watu wake; kwa kuwa ametoa katika kizazi chake na kumpa Moleki, ili kupatia unajisi patakatifu pangu, na kulinajisi jina langu takatifu.
soma Mlango wa 20

Leviticus 20:3

I also will set my face against that person, and will cut him off from among his people because he has given of his seed to Molech, to defile my sanctuary, and to profane my holy name.