Mambo ya Walawi 16 : 2 Leviticus chapter 16 verse 2

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 16:2

Bwana akamwambia Musa, Sema na Haruni ndugu yako, kwamba asiingie wakati wo wote katika mahali patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kiti cha rehema, kilicho juu ya sanduku, asije akafa; maana, mimi nitaonekana katika lile wingu juu ya kiti cha rehema.
soma Mlango wa 16

Leviticus 16:2

and Yahweh said to Moses, "Tell Aaron your brother, not to come at all times into the Most Holy Place within the veil, before the mercy seat which is on the ark; lest he die: for I will appear in the cloud on the mercy seat.