Mambo ya Walawi 16 : 17 Leviticus chapter 16 verse 17
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 16:17
Wala hapatakuwa na mtu katika hema ya kukutania, wakati aingiapo ili kufanya upatanisho katika patakatifu, hata atakapotoka nje, baada ya kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake, na kwa ajili ya mkutano wote wa Israeli.
|
Leviticus 16:17There shall be no one in the Tent of Meeting when he enters to make atonement in the Holy Place, until he comes out, and has made atonement for himself and for his household, and for all the assembly of Israel. |