Yoshua 6 : 1 Joshua chapter 6 verse 1

Swahili English Translation

Yoshua 6:1

Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli; hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.
soma Mlango wa 6

Joshua 6:1

Now Jericho was tightly shut up because of the children of Israel: none went out, and none came in.