Yoshua 22 : 28 Joshua chapter 22 verse 28

Swahili English Translation

Yoshua 22:28

Kwa hiyo tulisema, Itakuwa, hapo watakapotuambia neno kama hilo, au kuwaambia watu wa vizazi vyetu katika zamani zijazo neno kama hilo, ndipo sisi tutawaambia, Angalieni huu mfano wa madhabahu ya Bwana, walioufanya baba zetu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, wala kwa ajili ya dhabihu; lakini ni ushahidi kati ya sisi na ninyi.
soma Mlango wa 22

Joshua 22:28

Therefore said we, It shall be, when they so tell us or to our generations in time to come, that we shall say, Behold the pattern of the altar of Yahweh, which our fathers made, not for burnt offering, nor for sacrifice; but it is a witness between us and you.