Yoshua 20 : 9 Joshua chapter 20 verse 9

Swahili English Translation

Yoshua 20:9

Miji hiyo ndiyo miji iliyoamriwa kwa ajili ya wana wa Israeli wote, na kwa ajili ya mgeni akaaye kati yao ugenini, ili kwamba mtu awaye yote atakayemwua mtu pasipo kukusudia apate kimbilia huko, asife kwa mkono wa mwenye kujilipiza kisasi cha damu, hata hapo atakapokuwa amekwisha simama mbele ya mkutano.
soma Mlango wa 20

Joshua 20:9

These were the appointed cities for all the children of Israel, and for the stranger who sojourns among them, that whoever kills any person unwittingly might flee there, and not die by the hand of the avenger of blood, until he stood before the congregation.