Yoshua 20 : 6 Joshua chapter 20 verse 6

Swahili English Translation

Yoshua 20:6

Naye atakaa katika mji huo, hata hapo atakaposimama mbele ya mkutano kuhukumiwa, hata kifo chake kuhani mkuu mwenye kuwapo siku hizo; ndipo yule mwuaji atarudi, na kuuendea mji wake mwenyewe, na nyumba yake mwenyewe, hata mji huo alioutoka hapo alipokimbia.
soma Mlango wa 20

Joshua 20:6

He shall dwell in that city, until he stand before the congregation for judgment, until the death of the high priest that shall be in those days: then shall the manslayer return, and come to his own city, and to his own house, to the city from whence he fled.