Yoshua 18 : 8 Joshua chapter 18 verse 8

Swahili English Translation

Yoshua 18:8

Basi watu hao wakainuka wakaenda; kisha Yoshua aliwaagiza wale waliokwenda kuiandika nchi, akawaambia, Endeni, mkapite katikati ya nchi, na kuiandika habari zake, kisha mnijie tena hapa, nami nitawapigia kura kwa ajili yenu hapo mbele za Bwana huko Shilo.
soma Mlango wa 18

Joshua 18:8

The men arose, and went: and Joshua charged those who went to describe the land, saying, Go and walk through the land, and describe it, and come again to me; and I will cast lots for you here before Yahweh in Shiloh.