Yoshua 18 : 11 Joshua chapter 18 verse 11

Swahili English Translation

Yoshua 18:11

Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao; na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu.
soma Mlango wa 18

Joshua 18:11

The lot of the tribe of the children of Benjamin came up according to their families: and the border of their lot went out between the children of Judah and the children of Joseph.