Yeremia 7 : 30 Jeremiah chapter 7 verse 30

Swahili English Translation

Yeremia 7:30

Maana wana wa Yuda wametenda yaliyo maovu machoni pangu, asema Bwana; wameweka machukizo yao ndani ya nyumba hiyo, iitwayo kwa jina langu, hata kuitia unajisi.
soma Mlango wa 7

Jeremiah 7:30

For the children of Judah have done that which is evil in my sight, says Yahweh: they have set their abominations in the house which is called by my name, to defile it.