Yeremia 7 : 10 Jeremiah chapter 7 verse 10

Swahili English Translation

Yeremia 7:10

kisha mtakuja na kusimama mbele zangu katika nyumba hii, iitwayo kwa jina langu, na kusema, Tumepona; ili mpate kufanya machukizo hayo yote?
soma Mlango wa 7

Jeremiah 7:10

and come and stand before me in this house, which is called by my name, and say, We are delivered; that you may do all these abominations?