Yeremia 52 : 27 Jeremiah chapter 52 verse 27

Swahili English Translation

Yeremia 52:27

Naye mfalme wa Babeli akawapiga na kuwaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Ndivyo Yuda alivyochukuliwa utumwani, akatolewa katika nchi yake.
soma Mlango wa 52

Jeremiah 52:27

The king of Babylon struck them, and put them to death at Riblah in the land of Hamath. So Judah was carried away captive out of his land.