Yeremia 52 : 21 Jeremiah chapter 52 verse 21

Swahili English Translation

Yeremia 52:21

Na nguzo hizo, urefu wa nguzo moja ulikuwa dhiraa kumi na nane, na uzi wa dhiraa kumi na mbili ungeweza kuizunguka; na unene wake ulikuwa nyanda nne; nayo ilikuwa ya uvungu.
soma Mlango wa 52

Jeremiah 52:21

As for the pillars, the height of the one pillar was eighteen cubits; and a line of twelve cubits did compass it; and the thickness of it was four fingers: it was hollow.