Yeremia 40 : 6 Jeremiah chapter 40 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 40:6
Basi, Yeremia akaenda kwa Gedalia, mwana wa Ahikamu, huko Mizpa, akakaa pamoja naye kati ya watu wale waliosalia katika nchi.
|
Jeremiah 40:6Then went Jeremiah to Gedaliah the son of Ahikam to Mizpah, and lived with him among the people who were left in the land. |