Yeremia 40 : 6 Jeremiah chapter 40 verse 6

Swahili English Translation

Yeremia 40:6

Basi, Yeremia akaenda kwa Gedalia, mwana wa Ahikamu, huko Mizpa, akakaa pamoja naye kati ya watu wale waliosalia katika nchi.
soma Mlango wa 40

Jeremiah 40:6

Then went Jeremiah to Gedaliah the son of Ahikam to Mizpah, and lived with him among the people who were left in the land.