Yeremia 40 : 10 Jeremiah chapter 40 verse 10

Swahili English Translation

Yeremia 40:10

Na mimi, tazama, nitakaa Mizpa, ili nisimame mbele ya Wakaldayo watakaotujilia; lakini ninyi chumeni divai, na matunda ya wakati wa jua, na mafuta, mkaviweke vitu hivyo katika vyombo vyenu, mkakae katika miji yenu mliyoitwaa.
soma Mlango wa 40

Jeremiah 40:10

As for me, behold, I will dwell at Mizpah, to stand before the Chaldeans who shall come to us: but you, gather you wine and summer fruits and oil, and put them in your vessels, and dwell in your cities that you have taken.