Yeremia 40 : 10 Jeremiah chapter 40 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 40:10
Na mimi, tazama, nitakaa Mizpa, ili nisimame mbele ya Wakaldayo watakaotujilia; lakini ninyi chumeni divai, na matunda ya wakati wa jua, na mafuta, mkaviweke vitu hivyo katika vyombo vyenu, mkakae katika miji yenu mliyoitwaa.
|
Jeremiah 40:10As for me, behold, I will dwell at Mizpah, to stand before the Chaldeans who shall come to us: but you, gather you wine and summer fruits and oil, and put them in your vessels, and dwell in your cities that you have taken. |