Yeremia 34 : 8 Jeremiah chapter 34 verse 8

Swahili English Translation

Yeremia 34:8

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa Bwana, baada ya wakati ule mfalme Sedekia alipofanya agano na watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, kuwatangazia habari ya uhuru;
soma Mlango wa 34

Jeremiah 34:8

The word that came to Jeremiah from Yahweh, after that the king Zedekiah had made a covenant with all the people who were at Jerusalem, to proclaim liberty to them;