Yeremia 34 : 15 Jeremiah chapter 34 verse 15

Swahili English Translation

Yeremia 34:15

Na ninyi mlikuwa mmegeuka, mkafanya yaliyo haki machoni pangu, kwa kumtangazia uhuru kila mtu ndugu yake; nanyi mlikuwa mmefanya agano mbele zangu, katika nyumba ile iitwayo kwa jina langu;
soma Mlango wa 34

Jeremiah 34:15

You were now turned, and had done that which is right in my eyes, in proclaiming liberty every man to his neighbor; and you had made a covenant before me in the house which is called by my name: