Yeremia 34 : 10 Jeremiah chapter 34 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 34:10
na wakuu wote, na watu wote, wakati, waliofanya agano hilo, ya kwamba kila mtu amweke huru mtumwa wake na mjakazi wake, mtu ye yote asiwatumikishe tena; wakatii, wakawaacha.
|
Jeremiah 34:10All the princes and all the people obeyed, who had entered into the covenant, that everyone should let his man-servant, and everyone his maid-servant, go free, that none should make bondservants of them any more; they obeyed, and let them go: |