Yeremia 2 : 7 Jeremiah chapter 2 verse 7

Swahili English Translation

Yeremia 2:7

Nami nikawatia katika nchi ya shibe, mpate kula matunda yake na mema yake; lakini ninyi mlipoingia katika nchi ile, mliitia unajisi nchi yangu, na urithi wangu mliufanya kuwa chukizo.
soma Mlango wa 2

Jeremiah 2:7

I brought you into a plentiful land, to eat the fruit of it and the goodness of it; but when you entered, you defiled my land, and made my heritage an abomination.