Yeremia 15 : 20 Jeremiah chapter 15 verse 20
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 15:20
Nami nitakufanya kuwa kama ukuta wa boma la shaba juu ya watu hawa; nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, ili nikuokoe, na kukuponya, asema Bwana.
|
Jeremiah 15:20I will make you to this people a fortified brazen wall; and they shall fight against you, but they shall not prevail against you; for I am with you to save you and to deliver you, says Yahweh. |