Yeremia 15 : 20 Jeremiah chapter 15 verse 20

Swahili English Translation

Yeremia 15:20

Nami nitakufanya kuwa kama ukuta wa boma la shaba juu ya watu hawa; nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, ili nikuokoe, na kukuponya, asema Bwana.
soma Mlango wa 15

Jeremiah 15:20

I will make you to this people a fortified brazen wall; and they shall fight against you, but they shall not prevail against you; for I am with you to save you and to deliver you, says Yahweh.