Isaya 66 : 17 Isaiah chapter 66 verse 17

Swahili English Translation

Isaya 66:17

Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema Bwana.
soma Mlango wa 66

Isaiah 66:17

Those who sanctify themselves and purify themselves [to go] to the gardens, behind one in the midst, eating pig's flesh, and the abomination, and the mouse, they shall come to an end together, says Yahweh.