Isaya 66 : 16 Isaiah chapter 66 verse 16

Swahili English Translation

Isaya 66:16

Kwa maana Bwana atateta na wote wenye mwili, kwa moto na kwa upanga wake; nao watakaouawa na Bwana watakuwa wengi.
soma Mlango wa 66

Isaiah 66:16

For by fire will Yahweh execute judgment, and by his sword, on all flesh; and the slain of Yahweh shall be many.