Isaya 66 : 15 Isaiah chapter 66 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
Isaya 66:15
Maana Bwana atakuja na moto, na magari yake ya vita kama upepo wa kisulisuli; ili atoe malipo ya ghadhabu yake kwa moto uwakao, na maonyo yake kwa miali ya moto.
|
Isaiah 66:15For, behold, Yahweh will come with fire, and his chariots shall be like the whirlwind; to render his anger with fierceness, and his rebuke with flames of fire. |