Isaya 6 : 6 Isaiah chapter 6 verse 6

Swahili English Translation

Isaya 6:6

Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;
soma Mlango wa 6

Isaiah 6:6

Then one of the seraphim flew to me, having a live coal in his hand, which he had taken with the tongs from off the altar.