Isaya 6 : 2 Isaiah chapter 6 verse 2

Swahili English Translation

Isaya 6:2

Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.
soma Mlango wa 6

Isaiah 6:2

Above him stood the seraphim. Each one had six wings. With two he covered his face. With two he covered his feet. With two he flew.