Isaya 35 : 8 Isaiah chapter 35 verse 8

Swahili English Translation

Isaya 35:8

Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.
soma Mlango wa 35

Isaiah 35:8

A highway shall be there, and a way, and it shall be called The way of holiness. The unclean shall not pass over it, but is shall be for for him who walks in the Way. Wicked fools will not go there.