Hosea 2 : 9 Hosea chapter 2 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
Hosea 2:9
Basi kwa ajili ya hayo, nitaitwaa tena ngano yangu kwa wakati wake, na divai yangu kwa wakati wake, nami nitamnyang'anya sufu yangu na kitani yangu, vya kumfunika uchi wake.
|
Hosea 2:9Therefore I will take back my grain in its time, And my new wine in its season, And will pluck away my wool and my flax which should have covered her nakedness. |