Waebrania 4 : 6 Hebrews chapter 4 verse 6

Swahili English Translation

Waebrania 4:6

Basi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba wako watu watakaoingia humo, na wale waliohubiriwa habari ile zamani walikosa kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,
soma Mlango wa 4

Hebrews 4:6

Seeing therefore it remains that some should enter therein, and they to whom the good news was before preached failed to enter in because of disobedience,