Waebrania 12 : 8 Hebrews chapter 12 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Waebrania 12:8
Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.
|
Hebrews 12:8But if you are without discipline, of which all have been made partakers, then are you illegitimate, and not children. |