Mwanzo 37 : 2 Genesis chapter 37 verse 2

Swahili English Translation

Mwanzo 37:2

Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya.
soma Mlango wa 37

Genesis 37:2

This is the history of the generations of Jacob. Joseph, being seventeen years old, was feeding the flock with his brothers. He was a boy with the sons of Bilhah and Zilpah, his father's wives. Joseph brought an evil report of them to their father.