Ezra 6 : 22 Ezra chapter 6 verse 22
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezra 6:22
wakaifanya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu kwa furaha, kwa muda wa siku saba; kwa kuwa Bwana amewafurahisha, na kumgeuza moyo mfalme wa Ashuru, awaelekee, ili awatie nguvu mikono yao katika kazi hiyo ya nyumba ya Mungu, Mungu wa Israeli.
|
Ezra 6:22and kept the feast of unleavened bread seven days with joy: for Yahweh had made them joyful, and had turned the heart of the king of Assyria to them, to strengthen their hands in the work of the house of God, the God of Israel. |