Ezekieli 11 : 1 Ezekiel chapter 11 verse 1

Swahili English Translation

Ezekieli 11:1

Tena roho ikaniinua, ikanileta hata lango la upande wa mashariki wa nyumba ya Bwana, lililoelekea upande wa mashariki; na tazama, mahali pa kuingilia pa lango walikuwako watu ishirini na watano; na katikati yao nikamwona Yaazania, mwana wa Azuri, na Pelatia, mwana wa Benaya, nao ni wakuu wa watu.
soma Mlango wa 11

Ezekiel 11:1

Moreover the Spirit lifted me up, and brought me to the east gate of Yahweh's house, which looks eastward: and see, at the door of the gate twenty-five men; and I saw in the midst of them Jaazaniah the son of Azzur, and Pelatiah the son of Benaiah, princes of the people.