Kutoka 34 : 28 Exodus chapter 34 verse 28
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 34:28
Naye alikuwa huko pamoja na Bwana siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.
|
Exodus 34:28He was there with Yahweh forty days and forty nights; he neither ate bread, nor drank water. He wrote on the tablets the words of the covenant, the ten commandments. |