Kutoka 30 : 34 Exodus chapter 30 verse 34

Swahili English Translation

Kutoka 30:34

Bwana akamwambia Musa, Jitwalie manukato mazuri, yaani, natafi, na shekelethi, na kelbena; viungo vya manukato vizuri pamoja na ubani safi; vitu hivyo vyote na viwe vya kipimo kimoja;
soma Mlango wa 30

Exodus 30:34

Yahweh said to Moses, "Take to yourself sweet spices, gum resin, and onycha, and galbanum; sweet spices with pure frankincense: of each shall there be an equal weight;