Kutoka 30 : 16 Exodus chapter 30 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 30:16
Nawe utapokea hizo fedha za upatanisho mikononi mwa hao wana wa Israeli, na kuziweka kwa ajili ya utumishi wa hema ya kukutania; ili kwamba ziwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele ya Bwana, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu.
|
Exodus 30:16You shall take the atonement money from the children of Israel, and shall appoint it for the service of the tent of meeting; that it may be a memorial for the children of Israel before Yahweh, to make atonement for your souls." |