Kutoka 30 : 15 Exodus chapter 30 verse 15

Swahili English Translation

Kutoka 30:15

Matajiri hawataleta zaidi, wala maskini hawataleta kilichopungua, katika hiyo nusu shekeli, watakapotoa hiyo sadaka ya Bwana, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu.
soma Mlango wa 30

Exodus 30:15

The rich shall not give more, and the poor shall not give less, than the half shekel, when they give the offering of Yahweh, to make atonement for your souls.