Kutoka 16 : 31 Exodus chapter 16 verse 31
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 16:31
Na nyumba ya Israeli wakakiita jina lake Mana; nacho kilikuwa mfano wa chembe za mtama, nyeupe; na tamu yake ilikuwa kama tamu ya maandazi membamba yaliyoandaliwa kwa asali.
|
Exodus 16:31The house of Israel called the name of it Manna,{"Mana" means "What is it?"} and it was like coriander seed, white; and its taste was like wafers with honey. |