Esta 2 : 8 Esther chapter 2 verse 8

Swahili English Translation

Esta 2:8

Basi ikawa, wakati iliposikiwa amri ya mfalme na mbiu yake, wasichana wengi wakakusanyika huko Shushani ngomeni mikononi mwa Hegai; Esta naye aliingizwa katika nyumba ya mfalme, mikononi mwa Hegai mwenye kuwalinda wanawake.
soma Mlango wa 2

Esther 2:8

So it happened, when the king's commandment and his decree was heard, and when many maidens were gathered together to Shushan the palace, to the custody of Hegai, that Esther was taken into the king's house, to the custody of Hegai, keeper of the women.