Esta 2 : 18 Esther chapter 2 verse 18

Swahili English Translation

Esta 2:18

Ndipo mfalme alipowafanyia karamu kubwa maakida wake wote na watumishi wake, yaani, karamu yake Esta; akafanya msamaha katika majimbo yote, akatoa zawadi sawasawa na ukarimu wa mfalme.
soma Mlango wa 2

Esther 2:18

Then the king made a great feast to all his princes and his servants, even Esther's feast; and he made a release to the provinces, and gave gifts, according to the bounty of the king.