Kumbukumbu la Torati 30 : 20 Deuteronomy chapter 30 verse 20

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 30:20

kumpenda Bwana, Mungu wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye; kwani hiyo ndiyo uzima wako, na wingi wa siku zako; upate kukaa katika nchi Bwana aliyowaapia baba zako, Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kuwa atawapa.
soma Mlango wa 30

Deuteronomy 30:20

to love Yahweh your God, to obey his voice, and to cleave to him; for he is your life, and the length of your days; that you may dwell in the land which Yahweh swore to your fathers, to Abraham, to Isaac, and to Jacob, to give them.