Kumbukumbu la Torati 30 : 16 Deuteronomy chapter 30 verse 16

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 30:16

kwa hivi nikuagizavyo leo kumpenda Bwana, Mungu wako, kuenenda katika njia zake, na kushika maagizo yake, na amri zake, na hukumu zake, upate kuwa hai na kuongezeka; Bwana, Mungu wako, apate kukubarikia katika nchi uingiayo kuimiliki.
soma Mlango wa 30

Deuteronomy 30:16

in that I command you this day to love Yahweh your God, to walk in his ways, and to keep his commandments and his statutes and his ordinances, that you may live and multiply, and that Yahweh your God may bless you in the land where you go in to possess it.