Kumbukumbu la Torati 20 : 8 Deuteronomy chapter 20 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 20:8
Tena maakida na waseme zaidi na watu, wawaambie, Ni mtu gani aliye hapa tena mwenye hofu na moyo mnyonge? Aende akarudi nyumbani kwake, isije mioyo ya nduguze ikayeyuka mfano wa moyo wake.
|
Deuteronomy 20:8The officers shall speak further to the people, and they shall say, What man is there who is fearful and faint-hearted? let him go and return to his house, lest his brother's heart melt as his heart. |