Kumbukumbu la Torati 16 : 15 Deuteronomy chapter 16 verse 15

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 16:15

Siku saba mfanyie sikukuu Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua Bwana; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, atakubarikia katika maongeo yako yote, na katika kazi zote za mikono yako, nawe uwe katika kufurahi kabisa.
soma Mlango wa 16

Deuteronomy 16:15

Seven days shall you keep a feast to Yahweh your God in the place which Yahweh shall choose; because Yahweh your God will bless you in all your increase, and in all the work of your hands, and you shall be altogether joyful.