Kumbukumbu la Torati 16 : 15 Deuteronomy chapter 16 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 16:15
Siku saba mfanyie sikukuu Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua Bwana; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, atakubarikia katika maongeo yako yote, na katika kazi zote za mikono yako, nawe uwe katika kufurahi kabisa.
|
Deuteronomy 16:15Seven days shall you keep a feast to Yahweh your God in the place which Yahweh shall choose; because Yahweh your God will bless you in all your increase, and in all the work of your hands, and you shall be altogether joyful. |