Kumbukumbu la Torati 12 : 18 Deuteronomy chapter 12 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 12:18
lakini hivyo mtakula mbele za Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua Bwana, Mungu wako, wewe, na mwanao mume na mke, na mtumwa wako mume na mke, na Mlawi aliye ndani ya malango yako; nawe furahi mbele za Bwana, Mungu wako, katika yote utakayotia mkono wako.
|
Deuteronomy 12:18but you shall eat them before Yahweh your God in the place which Yahweh your God shall choose, you, and your son, and your daughter, and your man-servant, and your maid-servant, and the Levite who is within your gates: and you shall rejoice before Yahweh your God in all that you put your hand to. |