Kumbukumbu la Torati 12 : 15 Deuteronomy chapter 12 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 12:15
Pamoja na haya waweza kuchinja nyama na kula ndani ya malango yako yote, kwa kufuata yote yatamaniwayo na roho yako, kwa mfano wa baraka ya Bwana, Mungu wako, aliyokupa; aliye tohara na asiye tohara ana ruhusa kula katika nyama hiyo, kama ya paa na ya kulungu.
|
Deuteronomy 12:15Notwithstanding, you may kill and eat flesh within all your gates, after all the desire of your soul, according to the blessing of Yahweh your God which he has given you: the unclean and the clean may eat of it, as of the gazelle, and as of the hart. |