Kumbukumbu la Torati 11 : 22 Deuteronomy chapter 11 verse 22

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 11:22

Kwa kuwa kwamba mtayashika kwa bidii maagizo haya yote niwaagizayo, kuyafanya; kumpenda Bwana, Mungu wenu, na kutembea katika njia zake zote, na kushikamana naye;
soma Mlango wa 11

Deuteronomy 11:22

For if you shall diligently keep all this commandment which I command you, to do it, to love Yahweh your God, to walk in all his ways, and to cleave to him;