Danieli 6 : 7 Daniel chapter 6 verse 7

Swahili English Translation

Danieli 6:7

Mawaziri wote wa ufalme, na manaibu, na maamiri, na madiwani, na maliwali wamefanya shauri pamoja ili kuweka amri ya kifalme; na kupiga marufuku, ya kwamba mtu ye yote atakayeomba dua kwa Mungu awaye yote, au kwa mtu awaye yote, katika muda wa siku thelathini, ila kwako, Ee mfalme atatupwa katika tundu la simba.
soma Mlango wa 6

Daniel 6:7

All the presidents of the kingdom, the deputies and the satraps, the counselors and the governors, have consulted together to establish a royal statute, and to make a strong interdict, that whoever shall ask a petition of any god or man for thirty days, save of you, O king, he shall be cast into the den of lions.