Danieli 4 : 23 Daniel chapter 4 verse 23
Swahili | English Translation |
---|---|
Danieli 4:23
Tena, kwa kuwa mfalme alimwona mlinzi, naye ni mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni, akisema, Ukateni mti huu, mkauangamize; ila kiacheni kisiki cha shina lake katika ardhi, pamoja na pingu ya chuma na shaba, katika majani mororo ya kondeni; kikatiwe maji kwa umande wa mbinguni, na sehemu yake iwe pamoja na wanyama wa kondeni, hata nyakati saba zipite juu yake;
|
Daniel 4:23Whereas the king saw a watcher and a holy one coming down from the sky, and saying, Hew down the tree, and destroy it; nevertheless leave the stump of the roots of it in the earth, even with a band of iron and brass, in the tender grass of the field, and let it be wet with the dew of the sky: and let his portion be with the animals of the field, until seven times pass over him; |