Danieli 4 : 21 Daniel chapter 4 verse 21
Swahili | English Translation |
---|---|
Danieli 4:21
ambao majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha wote; ambao chini yake wanyama wa kondeni walikaa, na ndege wa angani walikuwa na makao yao katika matawi yake;
|
Daniel 4:21whose leaves were beautiful, and the fruit of it much, and in it was food for all; under which the animals of the field lived, and on whose branches the birds of the sky had their habitation: |