Danieli 2 : 10 Daniel chapter 2 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
Danieli 2:10
Wakaldayo wakajibu mbele ya mfalme, wakasema, Hapana mtu duniani awezaye kulionyesha neno hili la mfalme; kwa maana hapana mfalme, wala bwana, wala liwali, aliyetaka neno kama hili kwa mganga, wala kwa mchawi, wala kwa Mkaldayo.
|
Daniel 2:10The Chaldeans answered before the king, and said, There is not a man on the earth who can show the king's matter, because no king, lord, or ruler, has asked such a thing of any magician, or enchanter, or Chaldean. |